Wasiwasi kifo cha Askofu anayedaiwa kujinyonga wawaibua tena Polisi
Askofu Bundala alikutwa amekufa akidaiwa jinyonga kwa kutumia waya wa simu Mei 16, 2024 ndani ya choo cha ofisi yake, iliyopo kwenye kanisa la Methodist, Mtaa wa Ipagala A jijini Dodoma.