Search

129 results for Rachel Chibwete :

  1. PRIME Mchakato mrefu unavyowakosesha bodaboda wengi leseni

    Mchakato mrefu na tozo miongoni mwa sababu za madereva wengi wa pikipiki maarufu bodaboda kutokuwa na mafunzo wala leseni za udereva, hivyo kuchangia ongezeko la ajali za barabarani...

  2. Wasiwasi kifo cha Askofu anayedaiwa kujinyonga wawaibua tena Polisi

    Askofu Bundala alikutwa amekufa akidaiwa jinyonga kwa kutumia waya wa simu Mei 16, 2024 ndani ya choo cha ofisi yake, iliyopo kwenye kanisa la Methodist, Mtaa wa Ipagala A jijini Dodoma.

  3. Athari kwa mtoto aliyeachishwa ziwa ghafla

    Dodoma. Suala la kuachisha mtoto kunyonya maziwa ya mama linahitaji maandalizi ya kutosha, ili hata anapoachishwa aendelee kuwa na afya nzuri. Hali ilikuwa tofauti kwa Milka Chedego...

  4. Dodoma yakabidhiwa gari lenye uwezo wa kuzima moto ghorofa 10

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema mtambo huo wa kuzima moto kwenye majengo marefu ni wa pili nchini ambapo mwingine upo jijini Dar es salaam.

  5. NBS yataja viashiria vinne vya kukuza uchumi wa Tanzania

    Dodoma. Ofisi ya Taifa ya Takwimu imetoa taarifa ya viashiria vinne vya ukuaji wa uchumi huku ikitaja kuongezeka kwa uzalishaji wa umeme kwa asilimia 9.5, baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere...

  6. Wawili mbaroni tuhuma za kuendesha mikopo ‘kausha damu’ Dodoma

    Polisi Dodoma wamewakamata watuhumiwa wanaokopesha kipindi ambacho kumekuwa na mjadala mkubwa wa masuala ya ‘kausha damu’

  7. Vishkwambi kuboresha sekta ya kilimo, Waziri Bashe atoa maelekezo

    Ili kuboresha ufanisi uchaguzi wa vijana utafanyika kwenye ngazi ya mikoa wakishatambuliwa watapewa mafunzo kwenye vituo vya wizara ya kilimo vilivyopo kwenye kanda zote nchini, ambapo wizara...

  8. Watoto wanene kupita kiasi waanza kupungua

    Watoto Imani na Gloria Joseph waliokuwa na tatizo la kuongezeka uzito kupita kiasi, wameanza kupungua baada ya matibabu huku changamoto kubwa inayowakabili wazazi ni uwezo mdogo wa kuwahudumia...

    New Content Item (2)
  9. Kimbunga, mvua kubwa mikoa 20 yatarajiwa usiku wa leo

    Wakati hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya mikoa ya ukanda wa Pwani na Kusini unaosababishwa na kimbunga Hidaya, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imesema mvua zinatarajia...

  10. Spika Tulia: Vyombo vya habari toeni nafasi sawa habari za uchaguzi

    Amesema vyombo vya habari vina mchango mkubwa wa kutoa elimu kuhusu uchaguzi huo kwa sababu sauti yao inafika maeneo mengi zaidi.

Page 1 of 13

Next